Nazizika versuri
Malosh feat. Naibor Leona
Nazizika lyrics by Malosh feat. Naibor Leona
Guitar instrument
Verse 1
Ahhhh, ahhhhh, ahhhhhh
I see you walking through your door, na kenye nitafanya baby mi najijazia
Nasema mi sijali like I don’t give a damn, lakini mbona basi kila saa nachungulia
Ohh mara nikae, oh mara nisimame ama nibishe hodi kama fala nijifanye
Nacheka kama chizi kumbe ndani mi nalia, navumilia juu hadi siwezi kuambia vile
Bridge
Mi nakutaka natakuwa nawe, sioni mwingine wakunipendeza kama we
Ukinipatia muda nami najua ni we chochote utataka nitakupa
Chorus
Nobody, nobody knows siri zangu bado nazificha
Nobody, nobody knows juu bado nazizika
Verse 2
Ok ni sawa ni sawa najiblame, sazingine ni mi ndio nashindwa what to say
Ndio maana najificha ukiniona najificha juu sitaki niaibike
Najua mi nasleki niongoje, ni vile hii mapenzi ni ya wenyewe
Ni vile mi tu ni mgeni, ndio maana sisemi
Bridge
Mi nakutaka natakuwa nawe, sioni mwingine wakunipendeza kama we
Ukinipatia muda nami najua ni we chochote unataka nitakupa
Chorus
Nobody, nobody knows siri zangu bado nazificha
Nobody, nobody knows juu bado nazizika
Nobody, nobody knows, nobody knows
Nobody, nobody knows, nobody knows
Nobody, nobody knows, nobody knows juu bado nazificha
Nobody, nobody knows, nobody knows
Nobody, nobody knows, nobody knows
Nobody, nobody knows, nobody knows juu bado nazizika
Bridge
Mi nakutaka natakuwa nawe, sioni mwingine wakunipеndeza kama we
Ukinipatia muda nami najua ni we chochotе utataka nitakupa
Chorus
Nobody, nobody knows siri zangu bado nazificha
Nobody, nobody knows juu bado nazizika
-
Friendly Friends Dav Pilkey -
NO PROMO Hamza -
DAYDREAMING Ledisi -
Foreign (Remix) Justin Bieber -
PLOT TWIST FREESTYLE LUCKI -
Vivid School Graffiti Ibuki Nagisa -
There is strife and oppression African National Congress -
семнадцать ножевых (seventeen stabs) CUPSIZE -
Ren Namooboy -
MOVE EXIT -
BEEN Wuuslime -
Chase Is On Pretentious, Moi?

